Vipaji kutoka mtaani
Leo Tunakuletea jamaa wawili wanaopatikana pande mbili tofauti Mwananyamara na Temeke.Nahisi kama unafill upate kujua walianza lini na wapo wapi sasa!
Wa kwanza anafahamika kwa jina la Wahabi muhidin a.k.a LN
Shaban a.k.a Shebby shine.MPANGO MZIMA
Wasanii hawa ni wasanii wanao jishughulisha na kazi mojawapo ya sanaa ambayo kwa namna moja au nyingine vijana hawa wamejiajiri katika biashara ya muziki wa bongo fleva.
Walianza mziki rasmi mwaka 2000 japo kuwa ilikuwa ki getto getto! Waliweza kupiga tizi la kutosha na unaweza kusema je ilikuwaje ama imekuwaje wasiskike mpaka leo! Hapana jibu ni kwamba wakali hawa wa kitaa walikuwa shule si unajua skuli ndo kila kitu.Ilipo fika 2008 jamaa hawa waliweza kukutana na ku make kundi la watu wa wawili na hapo hapo hawakuchelewa kutuwekea mzigo hewani ambao
ambao tulikuwa nao katika mahojiano tofautitofauti
kuhusu maisha yao na muziki na hata kitaa panasomekaje,mipango yao.Fuatilia mpango mzima wao katika gemu hii ya bongo fleva na hata kwa yoyote anayehitaji ku dhamini au msaada wa kazi zao studio piga namba hizi 0713 736 868.



1 comment:
naamini mtafika tuu
Post a Comment